Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 20:44 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

44 Wakauawa Wabenyamini elfu kumi na nane, hao wote walikuwa ni wapiganaji hodari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Siku hiyo watu 18,000 wa kabila la Benyamini, wote askari hodari, waliuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Siku hiyo watu 18,000 wa kabila la Benyamini, wote askari hodari, waliuawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Siku hiyo watu 18,000 wa kabila la Benyamini, wote askari hodari, waliuawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Wakaanguka Wabenyamini elfu kumi na nane, wote wapiganaji hodari.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Wakaanguka Wabenyamini 18,000 ambao wote ni mashujaa.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 20:44
4 Marejeleo ya Msalaba  

wale waliohesabiwa katika kabila la Benyamini, walikuwa watu elfu thelathini na tano na mia nne (35,400).


BWANA akampiga Benyamini mbele ya Israeli; na wana wa Israeli waliangamiza wanaume elfu ishirini na tano na mia moja, wa Benyamini siku hiyo; wote hao waliokuwa wenye kutumia upanga.


Waliwazingira Wabenyamini pande zote na kuwafukuza, na kuwakanyagakanyaga hapo walipopumzika, hadi upande wa mashariki mwa Gibea.


Kisha wakageuka na kukimbilia upande wa nyika hadi katika jabali la Rimoni; nao wakaokota katika watu hao katika njia kuu wanaume elfu tano; wakawaandamia kwa kasi mpaka Gidomu, nako wakawaua wengine wao watu elfu mbili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo