Waamuzi 20:43 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC43 Waliwazingira Wabenyamini pande zote na kuwafukuza, na kuwakanyagakanyaga hapo walipopumzika, hadi upande wa mashariki mwa Gibea. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema43 Waisraeli waliwazingira watu wa kabila la Benyamini, wakawafuatia kutoka Noha hadi mashariki ya mji wa Gibea wakiwaua wengi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND43 Waisraeli waliwazingira watu wa kabila la Benyamini, wakawafuatia kutoka Noha hadi mashariki ya mji wa Gibea wakiwaua wengi wao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza43 Waisraeli waliwazingira watu wa kabila la Benyamini, wakawafuatia kutoka Noha hadi mashariki ya mji wa Gibea wakiwaua wengi wao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu43 Wakawazingira Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na kuwafikia karibu na Gibea upande wa mashariki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu43 Wakawazingira Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na kuwapata hapo walipopumzika katika viunga vya Gibea upande wa mashariki. Tazama sura |