Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 20:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

39 Nao watu wa Israeli walipogeuka katika ile vita, Benyamini naye akaanza kupiga na kuwaua watu wa Israeli kama watu thelathini; kwani walisema, Hakika yetu wamepigwa mbele yetu, vile vile kama katika ile vita ya kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 basi, waushambulie mji. Wakati huo, watu wa kabila la Benyamini walikuwa tayari wameua watu wapatao thelathini wa Israeli na kuambiana, “Tumewapiga kama hapo awali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 basi, waushambulie mji. Wakati huo, watu wa kabila la Benyamini walikuwa tayari wameua watu wapatao thelathini wa Israeli na kuambiana, “Tumewapiga kama hapo awali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 basi, waushambulie mji. Wakati huo, watu wa kabila la Benyamini walikuwa tayari wameua watu wapatao thelathini wa Israeli na kuambiana, “Tumewapiga kama hapo awali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 ndipo Waisraeli wangegeuka kupigana. Wabenyamini walikuwa wameanza kuwapiga na kuwaua Waisraeli (wapatao thelathini), hivyo wakasema, “Hakika tunawashinda kama tulivyowashinda katika vita hapo awali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 ndipo watu wa Waisraeli wangegeuka kupigana. Watu wa Benyamini walikuwa wameanza kuwapiga na kuua watu wa Israeli (wapatao thelathini), hivyo wakafikiri, “Hakika tutawapiga, kama tulivyowashinda katika vita hapo kwanza.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 20:39
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wale Waefraimu, wenye silaha, wapiga upinde, Walirudi nyuma siku ya vita.


Wana wa Benyamini wakasema, Wamepigwa mbele yetu kama wali. Lakini wana wa Israeli wakasema, Haya, na tukimbie, na kuwavuta wauache mji waende katika njia kuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo