Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 20:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Basi wana wa Israeli wakakaribia juu ya wana wa Benyamini siku ya pili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Hivyo siku ya pili Waisraeli wakakaribia kupigana na watu wa kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Hivyo siku ya pili Waisraeli wakakaribia kupigana na watu wa kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Hivyo siku ya pili Waisraeli wakakaribia kupigana na watu wa kabila la Benyamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 20:24
2 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Israeli wakakwea juu na kulia mbele za BWANA hadi jioni; wakamwuliza BWANA, wakisema, Je! Niende nikaribie tena kupiga vita juu ya wana wa Benyamini ndugu yangu? BWANA akasema, Haya, kweeni, mwende kupigana naye.


Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea siku ya pili, wakawaua watu elfu kumi na nane tena katika watu wa Israeli; hao wote walikuwa wamejihami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo