Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 20:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wana wa Benyamini wakatoka Gibea, wakawaua watu elfu ishirini na mbili katika Israeli siku hiyo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Watu wa kabila la Benyamini wakatoka nje ya mji wa Gibea wakapigana na Waisraeli, wakawaangusha chini siku hiyo, watu wa Israeli 22,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Watu wa kabila la Benyamini wakatoka nje ya mji wa Gibea wakapigana na Waisraeli, wakawaangusha chini siku hiyo, watu wa Israeli 22,000.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Watu wa kabila la Benyamini wakatoka nje ya mji wa Gibea wakapigana na Waisraeli, wakawaangusha chini siku hiyo, watu wa Israeli 22,000.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua Waisraeli elfu ishirini na mbili siku hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 20:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Benyamini ni mbwamwitu mwenye kuraruararua Asubuhi atakula mawindo, Na jioni atagawanya mateka.


Na sasa mnanuia kuwatawala wana wa Yuda na Yerusalemu na kuwafanya wawe watumwa na wajakazi wenu; lakini ninyi nanyi je! Hamna hatia zenu wenyewe juu ya BWANA, Mungu wenu?


Mfalme haokolewi kwa jeshi lake kubwa, Wala shujaa haokoki kwa kuwa na nguvu nyingi.


Njia yako ilikuwa katika bahari. Na mapito yako yalikuwa katika maji makuu; Hatua zako hazikujulikana.


Akawatoa watu wake wapigwe kwa upanga; Akaughadhibikia urithi wake.


Wewe u mwenye haki, Ee BWANA, nitetapo nawe, lakini nitasema nawe katika habari ya haki. Mbona njia ya wabaya inasitawi? Mbona wote watendao hila wanakaa salama?


Ee Israeli, umefanya dhambi tangu siku za Gibea; huko ndiko walikosimama; Je, vita juu ya wana wa uovu hakitawapata katika Gibea?


Utakapotoka kwenda juu ya adui zako nawe u katika kambi, jilinde na kila neno baya.


Watu wa Israeli waliondoka ili wapigane na Benyamini; nao watu wa Israeli wakaviandaa vita juu yao huko Gibea.


Lakini watu hao, watu wa Israeli, walijitia nguvu, wakaviandaa vile vita mara ya pili mahali pale walipojiandaa siku ya kwanza.


Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea siku ya pili, wakawaua watu elfu kumi na nane tena katika watu wa Israeli; hao wote walikuwa wamejihami.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo