Waamuzi 20:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Wana wa Benyamini wakatoka Gibea, wakawaua watu elfu ishirini na mbili katika Israeli siku hiyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Watu wa kabila la Benyamini wakatoka nje ya mji wa Gibea wakapigana na Waisraeli, wakawaangusha chini siku hiyo, watu wa Israeli 22,000. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Watu wa kabila la Benyamini wakatoka nje ya mji wa Gibea wakapigana na Waisraeli, wakawaangusha chini siku hiyo, watu wa Israeli 22,000. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Watu wa kabila la Benyamini wakatoka nje ya mji wa Gibea wakapigana na Waisraeli, wakawaangusha chini siku hiyo, watu wa Israeli 22,000. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua Waisraeli elfu ishirini na mbili siku hiyo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile. Tazama sura |