Waamuzi 20:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Lakini wana wa Benyamini wakakutanika huko Gibea kutoka katika miji yao, ili watoke kwenda kupigana na wana wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Basi walikusanyika huko Gibea kutoka katika kila mji wao, ili kupigana na Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Basi walikusanyika huko Gibea kutoka katika kila mji wao, ili kupigana na Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Basi walikusanyika huko Gibea kutoka katika kila mji wao, ili kupigana na Waisraeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Wakatoka katika miji yao, wakakutanika Gibea ili kupigana na Waisraeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Wakatoka katika miji yao, wakakutanika Gibea ili kupigana na Waisraeli. Tazama sura |