Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 2:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Basi hapo Yoshua alipowapa watu ruhusa waende zao, wana wa Israeli wakaenda kila mtu kuuendea urithi wake, ili kuimiliki hiyo nchi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Baada ya Yoshua kuwaaga Waisraeli, kila mmoja alikwenda kwenye eneo lake alilogawiwa ili kuimiliki nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Baada ya Yoshua kuwaaga Waisraeli, kila mmoja alikwenda kwenye eneo lake alilogawiwa ili kuimiliki nchi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Baada ya Yoshua kuwaaga Waisraeli, kila mmoja alikwenda kwenye eneo lake alilogawiwa ili kuimiliki nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 2:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yoshua akawabariki, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao.


Nao wakaliita jina la mahali pale Bokimu; nao wakamchinjia BWANA sadaka huko.


Watu hao wakamtumikia BWANA siku zote za Yoshua, na siku zote za hao wazee walioendelea siku zao baada ya Yoshua, hao waliokuwa wameiona hiyo kazi kubwa ya BWANA yote, aliyokuwa ameitenda kwa ajili ya Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo