Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 2:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Basi BWANA akawaacha mataifa yale, wala hakuwafukuza kwa upesi, wala hakuwatia katika mikono ya Yoshua.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Basi, Mwenyezi-Mungu akayaacha mataifa hayo, wala hakuyafukuza mara moja, wala hakumpa Yoshua ushindi juu ya mataifa hayo!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Basi, Mwenyezi-Mungu akayaacha mataifa hayo, wala hakuyafukuza mara moja, wala hakumpa Yoshua ushindi juu ya mataifa hayo!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Basi, Mwenyezi-Mungu akayaacha mataifa hayo, wala hakuyafukuza mara moja, wala hakumpa Yoshua ushindi juu ya mataifa hayo!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Mwenyezi Mungu alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 bwana alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 2:23
2 Marejeleo ya Msalaba  

ili kwa njia ya hayo nipate kuwajaribu Israeli, kama wataifuata njia ya BWANA kwenda katika njia hiyo, au sivyo.


Basi haya ndiyo mataifa ambao BWANA aliwaacha, ili awajaribu Israeli kwa hao, yaani, awajaribu hao wote ambao hawakuvijua vita vyote vya Kanaani;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo