Waamuzi 2:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 ili kwa njia ya hayo nipate kuwajaribu Israeli, kama wataifuata njia ya BWANA kwenda katika njia hiyo, au sivyo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Nitayatumia mataifa hayo kuwajaribu Waisraeli nione kama watairudia njia yangu kama babu zao au sivyo.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Nitayatumia mataifa hayo kuwajaribu Waisraeli nione kama watairudia njia yangu kama babu zao au sivyo.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Nitayatumia mataifa hayo kuwajaribu Waisraeli nione kama watairudia njia yangu kama babu zao au sivyo.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Nitawatumia mataifa hao ili nipate kuwapima Israeli, nione kama wataishika njia ya Mwenyezi Mungu na kuenenda kwa njia hiyo jinsi baba zao walivyofanya.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya bwana na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.” Tazama sura |