Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 19:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Yule mtu akainuka ili aondoke; lakini mkwewe akamsihi sana, naye akalala huko tena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Yule mtu aliposimama akitaka kuondoka, baba mkwe wake akamhimiza abaki, naye akabaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Yule mtu aliposimama akitaka kuondoka, baba mkwe wake akamhimiza abaki, naye akabaki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Yule mtu aliposimama akitaka kuondoka, baba mkwe wake akamhimiza abaki, naye akabaki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Basi yule mtu alipotaka kuondoka, baba mkwe wake akamsihi, hivyo akabaki usiku ule.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Basi yule mtu alipotaka kuondoka baba wa yule msichana akamsihi, basi akabaki usiku ule.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 19:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akamwambia Absalomu, Sivyo, mwanangu, tusiende sote, tusije tukakulemea. Akamsihi sana; asikubali kwenda, ila akambariki.


Basi wakaketi, wakala na kunywa wote wawili pamoja; kisha baba yake mwanamke akamwambia huyo mtu, Uwe radhi, tafadhali, ukae usiku kucha, na moyo wako na ufurahi.


Basi akaamka asubuhi na mapema siku ya tano ili aende zake; na baba yake mwanamke akasema, Tunza moyo wako, tafadhali, ukae hadi jua litue; nao wakala chakula wote wawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo