Waamuzi 18:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kuhani akawaambia, Haya endeni na amani; njia mnayoiendea iko mbele za BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Yule kuhani akawaambia, “Nendeni kwa amani. Mwenyezi-Mungu anaichunga safari yenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Yule kuhani akawaambia, “Nendeni kwa amani. Mwenyezi-Mungu anaichunga safari yenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Yule kuhani akawaambia, “Nendeni kwa amani. Mwenyezi-Mungu anaichunga safari yenu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Yule kuhani akawajibu, “Nendeni kwa amani. Safari yenu ina kibali cha Mwenyezi Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Yule kuhani akawajibu, “Enendeni kwa amani. Safari yenu ina kibali cha bwana.” Tazama sura |
Ndipo hao watu watano wakaenda zao, wakafika Laisha, wakawaona wale watu waliokuwamo ndani yake, jinsi walivyokaa kwa amani, kama ilivyokuwa desturi ya Wasidoni, watu watulivu na wasioshuku, wasiopungukiwa na chochote duniani, na waliokuwa na miliki; Nao walikuwa mbali na hao Wasidoni, wala hawakutangamana na watu wengine.