Waamuzi 18:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Hao watu mia sita wenye kuvaa silaha zao za vita, waliokuwa ni wana wa Dani, wakasimama penye maingilio ya lango. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wakati huo, wale watu 600 wa kabila la Dani wakiwa na silaha zao za vita walisimama mlangoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wakati huo, wale watu 600 wa kabila la Dani wakiwa na silaha zao za vita walisimama mlangoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wakati huo, wale watu 600 wa kabila la Dani wakiwa na silaha zao za vita walisimama mlangoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Wale Wadani mia sita, wakiwa wamejifunga silaha, wakasimama penye ingilio la lango. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Wale Wadani 600, waliovaa silaha za vita, wakasimama penye ingilio la lango. Tazama sura |