Waamuzi 18:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Basi wakageuka wakaenda kuko, wakafika katika nyumba ya huyo kijana Mlawi, huko nyumbani kwa Mika, kumwamkia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Basi wale wapelelezi wakaelekea kwenye nyumba ya Mika, wakaingia ndani na kumwuliza habari zake yule kijana Mlawi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Basi wale wapelelezi wakaelekea kwenye nyumba ya Mika, wakaingia ndani na kumwuliza habari zake yule kijana Mlawi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Basi wale wapelelezi wakaelekea kwenye nyumba ya Mika, wakaingia ndani na kumwuliza habari zake yule kijana Mlawi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Basi wakaelekea huko, wakafika kwa yule kijana Mlawi, katika nyumba ya Mika, wakamsalimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Basi wakaingia humo na kwenda kwenye nyumba ya yule kijana Mlawi katika nyumba ya Mika na kumsalimu. Tazama sura |