Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 18:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Basi wakatoka hapo watu mia sita waliovaa silaha za vita, wa jamaa ya Wadani, kutoka Sora, na kutoka Eshtaoli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Basi, watu 600 wa kabila la Dani wakiwa na silaha zao za vita wakaondoka kutoka Sora na Eshtaoli

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Basi, watu 600 wa kabila la Dani wakiwa na silaha zao za vita wakaondoka kutoka Sora na Eshtaoli

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Basi, watu 600 wa kabila la Dani wakiwa na silaha zao za vita wakaondoka kutoka Sora na Eshtaoli

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Ndipo wanaume mia sita kutoka ukoo wa Wadani, waliojifunga silaha za vita, wakaondoka Sora na Eshtaoli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ndipo watu 600 toka ukoo wa Wadani, waliojifunga silaha za vita, wakaondoka Sora na Eshtaoli.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 18:11
5 Marejeleo ya Msalaba  

Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,


Roho ya BWANA ikaanza kumtaharakisha katika Mahane-dani, katikati ya Sora na Eshtaoli.


Hapo mtakapokwenda mtawafikia watu wakaao kwa amani, na hiyo nchi nayo ni kubwa; kwa kuwa Mungu ameitia mikononi mwenu; ni mahali ambapo hapapungukiwi na kitu chochote kilichoko duniani.


Wakakwea juu na kupiga kambi huko Kiriath-yearimu, katika Yuda; kwa sababu hiyo wakapaita mahali pale jina lake Mahane-dani hata hivi leo; tazama, ni hapo nyuma ya Kiriath-yearimu.


Hao watu mia sita wenye kuvaa silaha zao za vita, waliokuwa ni wana wa Dani, wakasimama penye maingilio ya lango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo