Waamuzi 17:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Alikuwako mtu kijana mmoja mwanamume aliyetoka Bethlehemu-yuda, wa jamaa ya Yuda, aliyekuwa Mlawi, naye akakaa huko kama mgeni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Wakati huo kulikuwa na kijana mmoja Mlawi mjini Bethlehemu nchini Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Wakati huo kulikuwa na kijana mmoja Mlawi mjini Bethlehemu nchini Yuda. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Wakati huo kulikuwa na kijana mmoja Mlawi mjini Bethlehemu nchini Yuda. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Palikuwa na kijana Mlawi kutoka Bethlehemu ya Yuda, aliyekuwa akiishi miongoni mwa watu wa kabila la Yuda. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Basi palikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu ya Yuda. Yeye alikuwa Mlawi aliyeishi miongoni mwa kabila la Yuda. Tazama sura |