Waamuzi 17:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Ndipo Mika akasema, Sasa ninajua ya kwamba BWANA atanitendea mema, kwa kuwa nina Mlawi kama kuhani wangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Kisha akasema, “Sasa najua kwamba Mwenyezi-Mungu atanifanikisha kwani nina kijana huyu Mlawi kama kuhani wangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Kisha akasema, “Sasa najua kwamba Mwenyezi-Mungu atanifanikisha kwani nina kijana huyu Mlawi kama kuhani wangu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Kisha akasema, “Sasa najua kwamba Mwenyezi-Mungu atanifanikisha kwani nina kijana huyu Mlawi kama kuhani wangu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Mika akasema, “Sasa najua Mwenyezi Mungu atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Ndipo Mika akasema, “Sasa najua bwana atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.” Tazama sura |