Waamuzi 17:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Huyo Mlawi aliridhika kukaa na mtu huyo; kisha huyo kijana akawa kwake kama wanawe mmojawapo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Huyo Mlawi akaingia akakubali, akakaa huko na kuwa kama mmoja wa wana wa Mika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Huyo Mlawi akaingia akakubali, akakaa huko na kuwa kama mmoja wa wana wa Mika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Huyo Mlawi akaingia akakubali, akakaa huko na kuwa kama mmoja wa wana wa Mika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi pamoja na Mika, naye akawa kama mmoja wa wanawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi pamoja naye, naye huyo kijana akawa kwake kama mmoja wa wanawe. Tazama sura |