Waamuzi 17:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, aliyeitwa Mika. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika kutoka nchi ya vilima ya Efraimu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu. Tazama sura |