Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 17:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Wakati huo alikuwako mtu mmoja wa nchi ya vilima ya Efraimu, aliyeitwa Mika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Kulikuwa na mtu mmoja huko katika milima ya Efraimu, jina lake Mika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika kutoka nchi ya vilima ya Efraimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 17:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri, mlimani mwa Efraimu.


kisha mpaka ulipigwa kutoka juu ya mlima huo hadi kufika chemchemi ya maji ya Neftoa kisha ukatokea hata miji ya kilima cha Efroni; kisha mpaka ulipigwa hadi kufika Baala (ndio Kiriath-yearimu);


Nao wakawapa Shekemu pamoja na mbuga zake za malisho, katika nchi ya vilima ya Efraimu, huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji; na Gezeri pamoja na mbuga zake za malisho;


Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-sera; ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu, upande wa kaskazini wa mlima wa Gaashi.


Baada yake Abimeleki, akainuka Tola mwana wa Pua, mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, kuwaokoa Israeli; naye alikuwa akikaa Shamiri, katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu.


Ndipo ndugu zake, na watu wote wa nyumba ya baba yake wakateremka, wakamtwaa wakamchukua, wakamzika kati ya Sora na Eshtaoli, katika kiwanja cha kuzikia cha Manoa baba yake. Naye alikuwa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka ishirini.


Naye akamwambia mama yake, Hizo fedha elfu na mia moja ulizoibiwa, na kuweka laana kwa ajili yake na kusema masikioni mwangu, tazama, ninazo mimi hizo fedha; ni mimi niliyezitwaa. Mama yake akasema, Mwanangu na abarikiwe na BWANA.


Nao wakapita huko hadi hiyo nchi ya vilima vilima ya Efraimu, wakafikia nyumba ya huyo Mika.


Basi wana wa Dani wakatuma watu watano kutoka kwa koo zao zote, watu mashujaa, kutoka Sora, na kutoka Eshtaoli, ili kuipeleleza hiyo nchi, kuikagua; wakawaambia, Haya, endeni mkaikague nchi hii; basi wakaifikia nchi ya vilima vilima ya Efraimu, hadi nyumba ya huyo Mika, Wakalala huko.


Ikawa, hapo alipofika akapiga tarumbeta katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu, ndipo wana wa Israeli wakateremka pamoja naye kutoka huko milimani, naye akawatangulia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo