Waamuzi 16:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Hatimaye, kwa vile alivyomsumbua kwa maneno yake kila siku, na kumuudhi, roho yake ikataabika karibu kufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Delila alipoendelea kumbana sana Samsoni kwa maneno, siku baada ya siku na kumkera hata akachoka rohoni karibu kufa, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Delila alipoendelea kumbana sana Samsoni kwa maneno, siku baada ya siku na kumkera hata akachoka rohoni karibu kufa, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Delila alipoendelea kumbana sana Samsoni kwa maneno, siku baada ya siku na kumkera hata akachoka rohoni karibu kufa, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Hatimaye, baada ya kusumbuliwa kwa maneno kwa siku nyingi na kuudhiwa, roho yake ikataabika kiasi cha kufa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Hatimaye, baada ya kuwa anamsumbua kwa maneno siku kwa siku na kumuudhi, roho yake ikataabika hata kufa. Tazama sura |