Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 15:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Basi Wafilisti wakapanda wakapiga kambi yao katika Yuda, wakashambulia Lehi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Wafilisti wakaja, wakapiga kambi yao nchini Yuda na kuushambulia mji wa Lehi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Wafilisti wakaja, wakapiga kambi yao nchini Yuda na kuushambulia mji wa Lehi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Wafilisti wakaja, wakapiga kambi yao nchini Yuda na kuushambulia mji wa Lehi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 15:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wa Yuda wakasema, Mbona mmekuja kupigana nasi? Wakasema, Tumepanda ili kumfunga Samsoni, kumtenda yeye kama alivyotutenda sisi.


Alipofika Lehi, Wafilisti wakapiga kelele walipokutana naye; ndipo Roho ya BWANA ikamjia kwa nguvu, na zile kamba zilizokuwa juu ya mikono yake zikawa kama kitani iliyoteketezwa kwa moto, na vile vifungo vyake vikaanguka mikononi mwake.


Ikawa, alipokuwa amekwisha kunena akautupa ule mfupa wa taya mkononi mwake; na mahali pale pakaitwa Ramath-lehi.


Lakini Mungu akapasua mahali penye shimo palipo katika Lehi, pakatoka maji; naye alipokunywa, roho yake ikamrudia, akaburudika; kwa hiyo jina la mahali pale likaitwa Enhakore, napo pa katika Lehi hata hivi leo.


Ndipo akawashambulia vikali na kuwaua wengi, kisha akateremka na kukaa katika ufa wa jabali la Etamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo