Waamuzi 15:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Ndipo akawashambulia vikali na kuwaua wengi, kisha akateremka na kukaa katika ufa wa jabali la Etamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Basi, akawashambulia vikali na kuwaua wengi. Kisha akaenda kuishi katika pango la mwamba wa Etamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Basi, akawashambulia vikali na kuwaua wengi. Kisha akaenda kuishi katika pango la mwamba wa Etamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Basi, akawashambulia vikali na kuwaua wengi. Kisha akaenda kuishi katika pango la mwamba wa Etamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Akawashambulia kwa ukali na kuwaua watu wengi sana. Kisha akateremka na kukaa kwenye pango katika mwamba wa Etamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Akawashambulia kwa ukali kwa mapigo makuu na kuwaua watu wengi sana. Kisha akateremka na kukaa katika ufa kwenye mwamba wa Etamu. Tazama sura |