Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 15:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Ikawa, alipokuwa amekwisha kunena akautupa ule mfupa wa taya mkononi mwake; na mahali pale pakaitwa Ramath-lehi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Alipomaliza kusema, akatupa utaya huo. Mahali hapo pakaitwa Ramath-lehi, yaani mlima wa utaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Alipomaliza kusema, akatupa utaya huo. Mahali hapo pakaitwa Ramath-lehi, yaani mlima wa utaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Alipomaliza kusema, akatupa utaya huo. Mahali hapo pakaitwa Ramath-lehi, yaani mlima wa utaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Alipomaliza kusema, akautupa ule mfupa wa taya; na mahali pale pakaitwa Ramath-Lehi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Alipomaliza kusema, akautupa ule mfupa wa taya; na mahali pale pakaitwa Ramath-Lehi.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 15:17
4 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akaona mfupa mbichi wa taya ya punda, akautwaa, akaua watu elfu moja kwa mfupa huo;


Samsoni akasema, Kwa taya ya punda, chungu juu ya chungu, Kwa taya ya punda nimeua watu elfu moja.


Kisha akaona kiu sana, akamwita BWANA akasema, Wewe umetupa wokovu huu kwa mkono wa mtumishi wako; na sasa nitakufa kwa kiu, na kuanguka katika mikono ya watu wasiotahiriwa.


Basi Wafilisti wakapanda wakapiga kambi yao katika Yuda, wakashambulia Lehi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo