Waamuzi 15:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Samsoni akasema, Kwa taya ya punda, chungu juu ya chungu, Kwa taya ya punda nimeua watu elfu moja. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kisha Samsoni akasema, “Kwa utaya wa punda, nimeua watu elfu moja. Kwa utaya wa punda, nimekusanya marundo ya maiti.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kisha Samsoni akasema, “Kwa utaya wa punda, nimeua watu elfu moja. Kwa utaya wa punda, nimekusanya marundo ya maiti.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kisha Samsoni akasema, “Kwa utaya wa punda, nimeua watu elfu moja. Kwa utaya wa punda, nimekusanya marundo ya maiti.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ndipo Samsoni akasema, “Kwa taya la punda malundo juu ya lundo, kwa taya la punda nimeua watu elfu moja.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Ndipo Samsoni akasema, “Kwa taya la punda malundo juu ya malundo. Kwa taya la punda nimeua watu 1,000.” Tazama sura |