Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 14:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Kisha baadaye akarudi ili kumtwaa, naye akaenda kando kuuangalia mzoga wa huyo simba; na tazama, nyuki wengi walikuwamo ndani ya mzoga wa simba, na asali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Baada ya siku chache alirudi huko Timna kumchukua huyo msichana. Alipokuwa njiani akageuka pembeni kuuona mzoga wa yule simba, na kumbe kulikuwa na nyuki ndani ya mzoga na asali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Baada ya siku chache alirudi huko Timna kumchukua huyo msichana. Alipokuwa njiani akageuka pembeni kuuona mzoga wa yule simba, na kumbe kulikuwa na nyuki ndani ya mzoga na asali.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Baada ya siku chache alirudi huko Timna kumchukua huyo msichana. Alipokuwa njiani akageuka pembeni kuuona mzoga wa yule simba, na kumbe kulikuwa na nyuki ndani ya mzoga na asali.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Baada ya muda, Samsoni aliporudi ili akamwoe, akageuka kando ili kuutazama mzoga wa yule simba. Tazama! Ndani ya ule mzoga akaona kundi la nyuki na asali kiasi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Baada ya muda aliporudi ili akamwoe, akatazama kando ili kuutazama mzoga wa yule simba, na tazama, kulikuwa na kundi la nyuki ndani ya ule mzoga wa simba na kulikuwa na asali;

Tazama sura Nakili




Waamuzi 14:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamwambia Labani, Nipe mke wangu, maana siku zangu zimetimia; niingie kwake.


Je! Umeona asali? Kula kadiri ya kukutosha; Usije ukashiba na kuitapika.


Basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu, mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo, maana mimba yake ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.


Basi akateremka na kuzungumza na huyo mwanamke; naye akampendeza Samsoni sana.


Akatwaa asali mikononi mwake akasonga mbele, huku akila alipokuwa akienda, akawafikia babaye na mamaye, akawapa, nao wakala; lakini hakuwaambia ya kuwa ameitwaa hiyo asali katika mzoga wa simba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo