Waamuzi 14:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Lakini huyo mke wa Samsoni aliozwa mwenzake, ambaye alikuwa amemtendea kama rafikiye. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Basi, wakamwoza mwanamke wake kwa kijana mmoja ambaye alikuwa mdhamini wa Samsoni katika harusi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Basi, wakamwoza mwanamke wake kwa kijana mmoja ambaye alikuwa mdhamini wa Samsoni katika harusi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Basi, wakamwoza mwanamke wake kwa kijana mmoja ambaye alikuwa mdhamini wa Samsoni katika harusi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Naye mke wa Samsoni akakabidhiwa kwa rafiki yake Samsoni aliyekuwa msaidizi wake siku ya arusi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Lakini huyo mke wa Samsoni akakabidhiwa kwa rafiki yake Samsoni ambaye alikuwa rafiki yake msaidizi siku ya arusi. Tazama sura |