Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 14:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Nao watu wa mji wakamwambia siku ya saba kabla ya jua kuchwa, Ni kitu gani kilicho tamu kuliko asali? Ni kitu gani kilicho na nguvu kuliko simba? Naye akawaambia, Msingelima na mtamba wangu, Hamngekitegua kitendawili changu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Siku hiyo ya saba, kabla ya jua kutua, wakamwambia Samsoni, “Ni kitu gani kitamu kuliko asali? Ni nani mwenye nguvu kuliko simba?” Samsoni akawajibu, “Kama hamngejishughulisha na mtamba wangu hamngeweza kukitegua kitendawili changu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Siku hiyo ya saba, kabla ya jua kutua, wakamwambia Samsoni, “Ni kitu gani kitamu kuliko asali? Ni nani mwenye nguvu kuliko simba?” Samsoni akawajibu, “Kama hamngejishughulisha na mtamba wangu hamngeweza kukitegua kitendawili changu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Siku hiyo ya saba, kabla ya jua kutua, wakamwambia Samsoni, “Ni kitu gani kitamu kuliko asali? Ni nani mwenye nguvu kuliko simba?” Samsoni akawajibu, “Kama hamngejishughulisha na mtamba wangu hamngeweza kukitegua kitendawili changu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Siku ya saba, kabla ya jua kutua, wanaume wa mji wakamwambia Samsoni, “Ni nini kilicho kitamu kuliko asali? Ni nini chenye nguvu kuliko simba?” Samsoni akawaambia, “Kama hamkulima na mtamba wangu, msingekitegua kitendawili changu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Siku ya saba kabla ya jua kutua, watu wa mji wakamwambia Samsoni, “Ni nini kitamu kama asali? Ni nini chenye nguvu kama simba?” Samsoni akawaambia, “Kama hamkulima na mtamba wangu, hamngeweza kufumbua kitendawili changu.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 14:18
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sauli na Yonathani walipendwa na kupendeza Maishani wala mautini hawakutengwa; Walikuwa wepesi kuliko tai, Walikuwa hodari kuliko simba.


Naam, ningewalisha kwa ngano iliyo bora zaidi, Ningewashibisha kwa asali itokayo mwambani.


Simba aliye hodari kupita wanyama wote; Wala hatishwi na mwingine yeyote yule;


Kwa habari za mfano wa nyuso zao; walikuwa na uso wa mwanadamu; na hao wanne walikuwa na uso wa simba upande wa kulia; na hao wanne walikuwa na uso wa ng'ombe upande wa kushoto; na hao wanne walikuwa na uso wa tai pia.


Naye akalia mbele yake hizo siku saba, wakati ulioendelea karamu yao; basi ikawa siku ya saba akamwambia, kwa sababu alikuwa akimsisitiza sana; naye akawaambia wale wana wa watu wake hicho kitendawili.


Roho ya BWANA ikamjia juu yake kwa nguvu, naye akateremka hadi Ashkeloni, akawaua wanaume thelathini katika watu hao, na kuzitwaa nyara zao, na kuwapa hao waliokitambua kitendawili mavazi hayo ya sikukuu. Hasira zake zikampanda, naye akakwea kwenda nyumbani kwa baba yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo