Waamuzi 14:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Naye akawaambia, Kutoka kwa huyo kikatoka chakula, Kutoka kwa huyo mwenye nguvu kikatoka kitamu. Nao katika siku tatu hawakuweza kukifumbua hicho kitendawili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Nao wakamwambia, “Haya tega tusikie.” Samsoni akawaambia, “Kwa mla kukatoka mlo kwa mwenye nguvu, utamu.” Baada ya siku tatu hao vijana walikuwa bado hawajaweza kutegua hicho kitendawili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Nao wakamwambia, “Haya tega tusikie.” Samsoni akawaambia, “Kwa mla kukatoka mlo kwa mwenye nguvu, utamu.” Baada ya siku tatu hao vijana walikuwa bado hawajaweza kutegua hicho kitendawili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Nao wakamwambia, “Haya tega tusikie.” Samsoni akawaambia, “Kwa mla kukatoka mlo kwa mwenye nguvu, utamu.” Baada ya siku tatu hao vijana walikuwa bado hawajaweza kutegua hicho kitendawili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Akawaambia, “Ndani ya mlaji, kulitoka kitu cha kuliwa, ndani ya mwenye nguvu, kulitoka kitu kitamu.” Kwa muda wa siku tatu hawakuweza kutoa jibu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Akawaambia, “Ndani ya mlaji, kulitoka kitu cha kuliwa, ndani ya mwenye nguvu, kulitoka kitu kitamu.” Kwa muda wa siku tatu hawakuweza kutoa jibu. Tazama sura |