Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 14:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Basi ikawa hapo watu walipomwona, wakamletea wenziwe thelathini, wawe pamoja naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wafilisti walipomwona Samsoni wakamletea vijana thelathini wakae naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wafilisti walipomwona Samsoni wakamletea vijana thelathini wakae naye.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wafilisti walipomwona Samsoni wakamletea vijana thelathini wakae naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Watu walipomwona, wakaleta vijana wenzake thelathini ili kuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Watu walipomwona, wakaleta vijana wenzake thelathini ili kuwa pamoja naye.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 14:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Vikosi vya wavuvi watamfanyia biashara? Watamgawanya kati ya wafanyao biashara?


Naingia bustanini mwangu, dada yangu, bibi arusi, Nachuma manemane yangu na rihani, Nala sega la asali na asali yangu, Nanywa divai yangu na maziwa. Kaleni, rafiki zangu, kanyweni, Naam, nyweni sana, wapendwa wangu.


Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga.


Aliye naye bibi arusi ndiye bwana arusi; lakini rafiki yake bwana arusi, yeye anayesimama na kumsikia, aifurahia sana sauti yake bwana arusi.


Basi babaye akamteremkia huyo mwanamke; Samsoni naye akafanya karamu huko; kwa kuwa ndivyo vijana walivyokuwa wakifanya.


Samsoni akawaambia, Mimi nitawategea ninyi kitendawili; kama mnaweza kunitegulia katika hizo siku saba za karamu, na kukitambua, ndipo nitakapowapa mavazi thelathini ya kitani na mavazi thelathini ya sikukuu;


Basi wakaenda mbio wakamleta kutoka huko; naye aliposimama kati ya watu, alikuwa mrefu kuliko watu wote, tangu mabega yake kwenda juu.


Ikawa walipokuja, alimtazama Eliabu, akasema, Yakini masihi wa BWANA yupo hapa mbele zake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo