Waamuzi 14:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Basi babaye akamteremkia huyo mwanamke; Samsoni naye akafanya karamu huko; kwa kuwa ndivyo vijana walivyokuwa wakifanya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Baba yake akaenda nyumbani kwa yule msichana, naye Samsoni akafanya karamu huko, kama walivyofanya vijana wakati huo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Baba yake akaenda nyumbani kwa yule msichana, naye Samsoni akafanya karamu huko, kama walivyofanya vijana wakati huo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Baba yake akaenda nyumbani kwa yule msichana, naye Samsoni akafanya karamu huko, kama walivyofanya vijana wakati huo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Basi baba yake akateremka kumwona huyo mwanamke. Samsoni akafanya karamu huko, kama ilivyokuwa desturi ya vijana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Basi baba yake akateremka kumwona huyo mwanamke. Samsoni akafanya karamu huko, kama ilivyokuwa desturi ya vijana. Tazama sura |