Waamuzi 14:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Samsoni akateremka hadi Timna, akaona mwanamke huko Timna, mmojawapo wa binti za Wafilisti. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Siku moja, Samsoni aliteremka na kwenda Timna ambako alimwona msichana mmoja Mfilisti. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Samsoni akateremka Timna, na huko akamwona mwanamke Mfilisti. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Samsoni akateremkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti. Tazama sura |