Waamuzi 13:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC21 Lakini malaika wa BWANA hakumtokea Manoa tena, wala mkewe. Ndipo Manoa alipojua ya kwamba ndiye malaika wa BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Manoa akajua kuwa huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu. Malaika hakumtokea tena Manoa na mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Manoa akajua kuwa huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu. Malaika hakumtokea tena Manoa na mkewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Manoa akajua kuwa huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi-Mungu. Malaika hakumtokea tena Manoa na mkewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Malaika wa Mwenyezi Mungu hakumtokea tena Manoa na mkewe. Ndipo Manoa akatambua kuwa huyo alikuwa malaika wa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Malaika wa bwana hakumtokea tena Manoa na mkewe. Ndipo Manoa akatambua kuwa huyo alikuwa malaika wa bwana. Tazama sura |