Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 13:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, wa jamaa ya Wadani; jina lake akiitwa Manoa; na mkewe alikuwa tasa, hakuzaa watoto.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kulikuwa na mtu mmoja huko Sora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Mke wake alikuwa tasa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kulikuwa na mtu mmoja huko Sora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Mke wake alikuwa tasa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kulikuwa na mtu mmoja huko Sora, wa kabila la Dani, jina lake Manoa. Mke wake alikuwa tasa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Palikuwa na mtu mmoja wa Sora, aliyeitwa Manoa, wa ukoo wa Wadani, naye alikuwa na mke aliyekuwa tasa, asiyeweza kuzaa watoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Basi palikuwa na mtu mmoja wa Sora, aliyeitwa Manoa, wa kabila la Wadani, naye alikuwa na mke ambaye alikuwa tasa na hakuwa na mtoto.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 13:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na Sarai alikuwa tasa, hakuwa na mtoto.


Basi Sarai mkewe Abramu hakumzalia mwana, naye alikuwa na mjakazi, Mmisri, jina lake Hajiri.


Isaka akamwomba BWANA kwa ajili ya mke wake, maana alikuwa tasa. Naye BWANA akamwitikia, na Rebeka mkewe akachukua mimba.


Dani atahukumu watu wake, Kama moja ya makabila ya Israeli;


Na jamaa za Kiriath-Yearimu; Waithri, na Waputhi, na Washumathi, na Wamishrai; katika hao walitoka Wasorathi, na Waeshtaoli.


Nao walikuwa hawana mtoto, maana Elisabeti alikuwa tasa, na wote wawili ni wazee sana.


Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, Sora, Ashna,


Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, Eshtaoli, Irishemeshi;


Kisha malaika wa BWANA alikwea kutoka Gilgali kwenda Bokimu. Akasema, Mimi nimewaleta ninyi mkwee kutoka nchi ya Misri, nami nimewaleta hadi nchi niliyowaapia baba zenu; nami nilisema, Mimi milele sitalivunja hilo agano langu nililoagana nanyi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo