Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 13:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

17 Manoa akamwambia huyo malaika wa BWANA, Jina lako ni nani, ili kwamba hapo hayo maneno yako yatakapotimia nipate kukutukuza?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Basi, Manoa akamwambia huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, “Tuambie jina lako ili tukuheshimu wakati maneno yako yatakapotimia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Basi, Manoa akamwambia huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, “Tuambie jina lako ili tukuheshimu wakati maneno yako yatakapotimia.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Basi, Manoa akamwambia huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, “Tuambie jina lako ili tukuheshimu wakati maneno yako yatakapotimia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Kisha Manoa akamuuliza yule malaika wa Mwenyezi Mungu, “Jina lako ni nani, ili tuweze kukupa heshima wakati maneno uliyonena yatakapotimia?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Ndipo Manoa akamuuliza yule malaika wa bwana, “Jina lako ni nani, ili kwamba tuweze kukupa heshima hapo hayo uliyonena yatakapotimia?”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 13:17
3 Marejeleo ya Msalaba  

Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.


Yakobo akapaita mahali pale, Penieli, maana alisema, Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka.


Huyo malaika wa BWANA akamwambia, Kwa nini unaniuliza jina langu, na jina hilo ni la ajabu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo