Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 13:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Kisha Manoa akamwambia huyo malaika wa BWANA, Nakuomba, tukuzuie, ili tupate kuandaa mwana-mbuzi kwa ajili yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Manoa akamwambia huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, “Tafadhali, ukae kidogo tukutayarishie mwanambuzi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Manoa akamwambia huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, “Tafadhali, ukae kidogo tukutayarishie mwanambuzi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Manoa akamwambia huyo malaika wa Mwenyezi-Mungu, “Tafadhali, ukae kidogo tukutayarishie mwanambuzi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Manoa akamjibu yule malaika wa Mwenyezi Mungu, “Twakuomba usubiri kwanza ili tuweze kuandaa mwana-mbuzi kwa ajili yako.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Manoa akamjibu yule malaika wa bwana, “Twakuomba usubiri kwanza ili tuweze kuandaa mwana-mbuzi kwa ajili yako.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 13:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Malaika wa BWANA akamtokea yule mwanamke, akamwambia, Tazama, wewe sasa u tasa, huzai; lakini utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto wa kiume.


Naye malaika wa Mungu akamwambia, Itwae nyama na mikate isiyotiwa chachu, uiweke juu ya mwamba huu, ukaumwage huu mchuzi. Akafanya hivyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo