Waamuzi 13:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Malaika wa Mungu akamwambia Manoa, “Hebu huyo mwanamke ajihadhari na yote niliyomwambia.” Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwambia Manoa, “Mkeo atapaswa kushika yote niliyomwambia: Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwambia Manoa, “Mkeo atapaswa kushika yote niliyomwambia: Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Malaika wa Mwenyezi-Mungu akamwambia Manoa, “Mkeo atapaswa kushika yote niliyomwambia: Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Malaika wa Mwenyezi Mungu akamjibu, “Mke wako hana budi kufanya yale yote niliyomwambia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Malaika wa bwana akamjibu, “Mke wako hana budi kufanya yale yote niliyomwambia. Tazama sura |