Waamuzi 13:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Wana wa Israeli wakafanya tena yaliyo mabaya mbele za macho ya BWANA, BWANA akawatia katika mikono ya Wafilisti, muda wa miaka arubaini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye akawaacha watawaliwe na Wafilisti kwa miaka arubaini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye akawaacha watawaliwe na Wafilisti kwa miaka arubaini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Waisraeli walitenda tena uovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, naye akawaacha watawaliwe na Wafilisti kwa miaka arubaini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Waisraeli wakafanya maovu tena mbele za Mwenyezi Mungu. Hivyo Mwenyezi Mungu akawatia mikononi mwa Wafilisti kwa muda wa miaka arobaini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Waisraeli wakafanya maovu tena mbele za bwana. Hivyo bwana akawatia mikononi mwa Wafilisti kwa muda wa miaka arobaini. Tazama sura |