Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 12:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

13 Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Baada ya Eloni, Abdoni mwana wa Hileli kutoka Pirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli Mpirathoni akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 12:13
4 Marejeleo ya Msalaba  

na Benaya, Mpirathoni, na Hurai, wa vijito vya Gaashi;


Huyo Eloni, Mzabuloni, akafa, akazikwa katika Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.


Naye alikuwa na wana arubaini, na wajukuu thelathini, waliokuwa wakipanda wanapunda sabini; akawa mwamuzi wa Israeli muda wa miaka minane.


Huyo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, akazikwa huko Pirathoni katika nchi ya Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo