Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 12:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Baada ya Ibzani, Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli akawaamua Israeli muda wa miaka kumi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Baada ya Ibzani, Eloni wa kabila la Zebuluni, akawa mwamuzi wa Israeli kwa miaka kumi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Baada ya Ibzani, Eloni wa kabila la Zebuluni, akawa mwamuzi wa Israeli kwa miaka kumi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Baada ya Ibzani, Eloni wa kabila la Zebuluni, akawa mwamuzi wa Israeli kwa miaka kumi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Baada yake, Eloni Mzabuloni akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka kumi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 12:11
2 Marejeleo ya Msalaba  

Huyo Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.


Huyo Eloni, Mzabuloni, akafa, akazikwa katika Aiyaloni katika nchi ya Zabuloni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo