Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waamuzi 11:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

37 Kisha akamwambia baba yake, Basi na nifanyiwe neno hili; niache peke yangu muda wa miezi miwili, ili nipate kwenda milimani, na kuombolea ubikira wangu, mimi na wenzangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Kisha, akamwambia baba yake, “Nakuomba jambo hili moja, nipatie muda wa miezi miwili, niende na rafiki zangu milimani, niomboleze kufariki kwangu kabla ya kuolewa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Kisha, akamwambia baba yake, “Nakuomba jambo hili moja, nipatie muda wa miezi miwili, niende na rafiki zangu milimani, niomboleze kufariki kwangu kabla ya kuolewa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Kisha, akamwambia baba yake, “Nakuomba jambo hili moja, nipatie muda wa miezi miwili, niende na rafiki zangu milimani, niomboleze kufariki kwangu kabla ya kuolewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Naye akamwambia baba yake, “Naomba nifanyiwe jambo hili. Nipewe miezi miwili ili kuzunguka vilimani nikaulilie ubikira wangu, mimi na wenzangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Naye akamwambia baba yake, “Naomba nifanyiwe jambo hili. Nipewe miezi miwili ili kuzunguka vilimani nikaulilie ubikira wangu, mimi na wenzangu.”

Tazama sura Nakili




Waamuzi 11:37
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akapata mimba, akazaa mwana, akasema, Mungu ameondoa aibu yangu.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


Akamwambia, Haya, nenda. Akampeleka mbali muda wa miezi miwili; naye akaenda zake, yeye na wenziwe, akauombolea ubikira wake huko milimani.


Ila mwenzake humchokoza sana, ili kumwuudhi, kwa sababu BWANA alikuwa amemfunga tumbo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo