Waamuzi 11:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Basi Yeftha akavuka kuwaendea wana wa Amoni ili kupigana nao; naye BWANA akawaua mkononi mwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Basi, Yeftha akavuka mto, akapigana na Waamoni, naye Mwenyezi-Mungu akawatia Waamoni mikononi mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Basi, Yeftha akavuka mto, akapigana na Waamoni, naye Mwenyezi-Mungu akawatia Waamoni mikononi mwake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Basi, Yeftha akavuka mto, akapigana na Waamoni, naye Mwenyezi-Mungu akawatia Waamoni mikononi mwake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Ndipo Yefta akavuka kupigana na hao Waamoni, naye Mwenyezi Mungu akawatia mkononi mwake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Ndipo Yefta akavuka kupigana na hao Waamoni, naye bwana akawatia mkononi mwake. Tazama sura |