Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 11:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Kisha Israeli wakatuma wajumbe waende kwa Sihoni mfalme wa Waamori, mfalme wa Heshboni: Israeli wakamwambia, Tunakuomba utupe ruhusa tupite katika nchi yako, mpaka mahali pangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Hapo Waisraeli walituma wajumbe kwa mfalme Sihoni wa Waamori huko Heshboni wakamwomba awaruhusu kupita katika nchi yake waende katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Hapo Waisraeli walituma wajumbe kwa mfalme Sihoni wa Waamori huko Heshboni wakamwomba awaruhusu kupita katika nchi yake waende katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Hapo Waisraeli walituma wajumbe kwa mfalme Sihoni wa Waamori huko Heshboni wakamwomba awaruhusu kupita katika nchi yake waende katika nchi yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 “Kisha Waisraeli wakatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, na kumwambia, ‘Tupe ruhusa kupita katika nchi yako ili kufikia mahali petu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 “Kisha Israeli wakatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, na kumwambia, ‘Tupe ruhusa kupita katika nchi yako ili kufikia mahali petu.’

Tazama sura Nakili




Waamuzi 11:19
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini huyo Sihoni hakuwaamini Israeli ili wapite ndani ya mpaka wake; bali Sihoni akawakutanisha watu wake wote, nao wakapiga kambi katika Yahasa, wakapigana na Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo