Waamuzi 11:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 akamwambia, Yeftha anakuambia hivi; Israeli hakuitwaa nchi ya Moabu, wala nchi ya wana wa Amoni; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 wamwambie kwa niaba yake, “Waisraeli hawakuchukua nchi ya Wamoabu wala nchi ya Waamoni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 wamwambie kwa niaba yake, “Waisraeli hawakuchukua nchi ya Wamoabu wala nchi ya Waamoni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 wamwambie kwa niaba yake, “Waisraeli hawakuchukua nchi ya Wamoabu wala nchi ya Waamoni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 kusema: “Hili ndilo asemalo Yefta: Waisraeli hawakuchukua nchi ya Moabu wala nchi ya Waamoni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 kusema: “Hili ndilo asemalo Yefta, Israeli hawakuchukua nchi ya Moabu wala ya Waamoni. Tazama sura |