Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 11:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Yeftha akatuma wajumbe mara ya pili waende kwa huyo mfalme wa wana wa Amoni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Yeftha akatuma tena wajumbe kwa mfalme wa Amoni

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Yeftha akatuma tena wajumbe kwa mfalme wa Amoni

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Yeftha akatuma tena wajumbe kwa mfalme wa Amoni

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Yefta akarudisha wajumbe kwa mfalme wa Waamoni,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Yefta akarudisha wajumbe kwa mfalme wa Waamoni,

Tazama sura Nakili




Waamuzi 11:14
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi nazingatia amani; Bali ninenapo, wao wanataka vita.


Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.


Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana asipokuwa nao;


Na aache mabaya, atende mema; Atafute amani, aifuate sana.


Mfalme wa wana wa Amoni akawajibu hao wajumbe wa Yeftha, “Kwa sababu Israeli waliitwaa nchi yangu, hapo walipokwea wakitoka katika nchi ya Misri, tokea Arnoni mpaka Yaboki, na hata Yordani; basi sasa rudisha hizo nchi tena kwa amani.”


akamwambia, Yeftha anakuambia hivi; Israeli hakuitwaa nchi ya Moabu, wala nchi ya wana wa Amoni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo