Waamuzi 11:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC10 Wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, Yeye BWANA atakuwa shahidi kati yetu; hakika yetu tutafanya sawasawa na neno lako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Wale wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, “Mwenyezi-Mungu atakuwa shahidi kati yetu. Hakika tutafanya kama ulivyosema.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Wale wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, “Mwenyezi-Mungu atakuwa shahidi kati yetu. Hakika tutafanya kama ulivyosema.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Wale wazee wa Gileadi wakamwambia Yeftha, “Mwenyezi-Mungu atakuwa shahidi kati yetu. Hakika tutafanya kama ulivyosema.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Viongozi wa Gileadi wakamjibu Yefta, “Mwenyezi Mungu ndiye shahidi wetu. Kwa hakika tutafanya kama usemavyo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Viongozi wa Gileadi wakamjibu Yefta, “bwana ndiye shahidi yetu. Kwa hakika tutafanya kama usemavyo.” Tazama sura |