Waamuzi 10:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Nao wakaiondoa hiyo miungu ya kigeni iliyokuwa kati yao, nao wakamtumikia BWANA; na roho yake ilihuzunika kwa sababu ya msiba wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Kisha wakaitupilia mbali miungu ya kigeni, wakamtumikia tena Mwenyezi-Mungu. Mwenyezi-Mungu hakuweza kuvumilia zaidi kuona taabu za Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Kisha wakaitupilia mbali miungu ya kigeni, wakamtumikia tena Mwenyezi-Mungu. Mwenyezi-Mungu hakuweza kuvumilia zaidi kuona taabu za Waisraeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Kisha wakaitupilia mbali miungu ya kigeni, wakamtumikia tena Mwenyezi-Mungu. Mwenyezi-Mungu hakuweza kuvumilia zaidi kuona taabu za Waisraeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Nao wakaiondoa hiyo miungu migeni kati yao nao wakamtumikia Mwenyezi Mungu. Naye akahuzunika kwa sababu ya taabu ya Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Nao wakaiondoa hiyo miungu migeni katikati yao nao wakamtumikia bwana. Naye akahuzunika kwa sababu ya taabu ya Israeli. Tazama sura |