Waamuzi 10:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Naye BWANA akawaambia wana wa Israeli, Je! Sikuwaokoa ninyi na hao Wamisri, na Waamori, na wana wa Amoni, na Wafilisti? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Naye Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Je, mimi sikuwakomboa kutoka kwa Wamisri, Waamoni, Waamori, Wafilisti? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Naye Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Je, mimi sikuwakomboa kutoka kwa Wamisri, Waamoni, Waamori, Wafilisti? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Naye Mwenyezi-Mungu akawaambia, “Je, mimi sikuwakomboa kutoka kwa Wamisri, Waamoni, Waamori, Wafilisti? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Mwenyezi Mungu akawaambia, “Wamisri, Waamori, Waamoni, Wafilisti, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 bwana akawaambia, “Wakati Wamisri, Waamori, Waamoni, Wafilisti, Tazama sura |