Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 1:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

36 Mpaka wa Waamori ulikuwa tangu huko kupandia Akrabimu, tangu hilo jabali, na juu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kaskazini ya Sela, kupitia pitio la Akarimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kaskazini ya Sela, kupitia pitio la Akarimu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kaskazini ya Sela, kupitia pitio la Akarimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kuanzia Genge la Akrabimu, kuendelea hadi Sela na kuelekea juu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Mpaka wa Waamori ulikuwa kuanzia Genge la Akrabimu, kuendelea hadi Sela na kuelekea juu.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 1:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

watoto wao waliosalia baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuweza kuwaharibu kabisa, katika hao Sulemani akawatumikisha shokoa hata leo.


kisha mpaka wenu utageuka kwenda upande wa kusini wa kukwelea kwake Akrabimu, kisha kupita kwendelea Sini; na kutokea kwake kutakuwa kuelekea upande wa kusini wa Kadesh-barnea; kisha utaendelea mpaka Hasar-adari, na kufikia Azmoni;


lakini hao Waamori waliendelea kukaa katika kilima cha Heresi, na katika Aiyaloni, na katika Shaalbimu; pamoja na haya mkono wa hiyo nyumba ya Yusufu ulishinda, hata wakawalazimisha shokoa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo