Waamuzi 1:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 lakini Waasheri wakakaa kati ya Wakanaani, hao wenyeji wa nchi; kwa kuwa hawakuwafukuza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Watu wa kabila la Asheri walikaa pamoja na Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo kwani hawakuwafukuza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Watu wa kabila la Asheri walikaa pamoja na Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo kwani hawakuwafukuza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Watu wa kabila la Asheri walikaa pamoja na Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo kwani hawakuwafukuza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi. Tazama sura |