Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waamuzi 1:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 lakini Waasheri wakakaa kati ya Wakanaani, hao wenyeji wa nchi; kwa kuwa hawakuwafukuza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Watu wa kabila la Asheri walikaa pamoja na Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo kwani hawakuwafukuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Watu wa kabila la Asheri walikaa pamoja na Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo kwani hawakuwafukuza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Watu wa kabila la Asheri walikaa pamoja na Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo kwani hawakuwafukuza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 na kwa sababu ya jambo hili Waasheri wakaishi miongoni mwa Wakanaani, wenyeji wa nchi.

Tazama sura Nakili




Waamuzi 1:32
4 Marejeleo ya Msalaba  

akamweka awe mfalme wa Gileadi, na Waasheri, na Yezreeli, na Efraimu, na Benyamini, na juu ya Israeli wote.


Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;


Naftali naye hakuwatoa wenyeji wa Beth-shemeshi, wala hao waliokaa Bethanathi; lakini alikaa kati ya Wakanaani, hao wenyeji wa nchi; pamoja na haya, hao wenyeji wa Beth-shemeshi, na wenyeji wa Bethi-anathi, wakawatumikia kazi ya shokoa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo