Waamuzi 1:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Kisha wakampa huyo Kalebu Hebroni, kama alivyonena Musa naye akawafukuza wale wana watatu wa Anaki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Mji wa Hebroni ukakabidhiwa kwa Kalebu kufuatana na maagizo ya Mose. Kalebu akazifukuza kutoka huko koo tatu za Anaki. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Mji wa Hebroni ukakabidhiwa kwa Kalebu kufuatana na maagizo ya Mose. Kalebu akazifukuza kutoka huko koo tatu za Anaki. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Mji wa Hebroni ukakabidhiwa kwa Kalebu kufuatana na maagizo ya Mose. Kalebu akazifukuza kutoka huko koo tatu za Anaki. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Kama vile Musa alivyoahidi, Kalebu alipewa Hebroni, naye akawafukuza wana watatu wa Anaki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Kama vile Musa alivyoahidi, Kalebu alipewa Hebroni, naye akawafukuza wana watatu wa Anaki. Tazama sura |