Waamuzi 1:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ikawa baada ya kufa kwake Yoshua, wana wa Israeli wakamwuliza BWANA, wakisema, Ni nani atakayekwea kwanza kwa ajili yetu juu ya Wakanaani, ili kupigana nao? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli walimwuliza Mwenyezi-Mungu: “Mwenyezi-Mungu, ni kabila gani litakwenda kupigana kwanza na Wakanaani?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli walimwuliza Mwenyezi-Mungu: “Mwenyezi-Mungu, ni kabila gani litakwenda kupigana kwanza na Wakanaani?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli walimwuliza Mwenyezi-Mungu: “Mwenyezi-Mungu, ni kabila gani litakwenda kupigana kwanza na Wakanaani?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli wakamuuliza Mwenyezi Mungu, “Ni nani atakayetangulia apande mbele yetu kutupigania dhidi ya Wakanaani?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Baada ya kifo cha Yoshua, Waisraeli wakamuuliza bwana, “Ni nani atakayetangulia kupanda mbele yetu kwa ajili ya kupigana na Wakanaani?” Tazama sura |